ERIC, MTOTO WA NYUMBANI
Posted by Bob Sankofa on February 9, 2008
“Ukitaka chai ewe inspector, nenda Limuru”, hayo ni maneno ya Erick Wainaina na bendi yake ya Mapinduzi toka katika ule wimbo wake wa “Nchi ya Kitu Kidogo”. Jamaa ana vionjo fulani kama vya Lokua Kanza halafu mashairi yake yameathiriwa sana na falsafa za kimapinduzi za Mau Mau. Haogopi kusema kweli kwenye nyimbo zake, anazo nyimbo za mapenzi pia lakini nazo zinakufanya ufikirie pia.
jangeer said
poa sana mkuu wangu!
nimekukubali.
Seems like every time you are photos are getting better and better…..
kazi nzuri mno, no doubt.