MWAROBAINI WA FOLENI DAR
Posted by Bob Sankofa on September 11, 2007
Juzi wakati nakuja kwenye mkutano wa DCI nilitua pale J’berg kwa muda. Wakati tunashuka nikanyuka hii, baadae wakati naihariri ili kuipandisha hapa nikawa najiuliza, je lile swala la njia tatu lililoanzishwa pale Bongo ndio dawa ya kudumu kwa tatizo la foleni au kuna mpango wa kuleta dawa kama hii?
Wenye mamlaka ya kuujibu hili tafadhali usisite kutujibu hapa.
Jeff Msangi said
Bob,
Hii picha safi sana.Hizi ndio mimi huziita editorial photos.Ina maelezo yasiyopungua elfu moja ndani yake.Kazi nzuri.
charahani said
hivi bongo tungekuwa angalau na barabara nusu ya hizi hivi ule msongamano ungelikuwapo kweli. Poa sana mzee hii picha ni educative ile mbaya yaani ina mambo mengi mno ya kujifunza.
Bob Sankofa said
Asante Jeff.
Asante Charahani, bado najaribu kuwatia mkononi wenye kuweza kujibu maswali yako na yangu.