HAPA KAZI TU! KAZI TU!
Posted by Bob Sankofa on September 3, 2007
Watanzania wote tukifanya kazi zetu kwa kuzifurahia kama hivi tutakwenda mbali mno…
Wanafalsafa wa Kiafrika waliwahi kusema ngoma humvuta binadamu karibu na Muumba wake, huyu bwana analijua hilo na anazifyatua vilivyo…
Kanyaga twende mama…
Lishe yako ikiwa mgogoro unaweza ukaanguka stejini. Unatakiwa kucheza kwa stepu na usimkanyage mwenzio…
Hakuna ngwasuma bila gita zito.
Bado picha zaidi zinakuja.
UHURU!
Picha na: Bob Sankofa
Mahali: Msasani Club
Leave a comment