

Posted by Bob Sankofa on March 7, 2008


Posted in Africa, Art, Bongo, Burudani, Fashion, Fotografia, Kazi, mitindo, Photography, Sanaa, Tanzania | 1 Comment »
Posted by Bob Sankofa on March 7, 2008

Abdi Simba, mmoja wa wamiliki wa taasis ya Flame Tree, waandaaji wakubwa wa maonesho haya akiongea jambo na mama wa Benki ya Kenya (mama aliyetoa pesa za ufadhili). Hapa nadhani mama alikuwa anamuuliza jamaa kuwa ana mpango gani baada ya onesho hili.
Katikati ni mkurugenzi wa kampuni ya utayarishaji filamu ya Savannah na aliyewahi kuwa mkurungenzi mkuu wa Zanzibar International Film Festiva, Imruh Bakari.
Posted in Africa, Art, Bongo, Burudani, Fotografia, Kazi, Kimataifa, Photography, Sanaa, Tanzania | 1 Comment »
Posted by Bob Sankofa on March 7, 2008

Posted in Africa, Art, Bongo, Burudani, Fotografia, Kazi, Photography, Sanaa, Tanzania | 1 Comment »
Posted by Bob Sankofa on March 7, 2008

Posted in Africa, Art, Bongo, Burudani, Fotografia, Kazi, Photography, Sanaa, Tanzania | Leave a Comment »
Posted by Bob Sankofa on March 7, 2008

Mwandale Mwanyekwa, msanii na muandaaji mshiriki wa maonesho haya akiwakaribisha wageni waliofanikisha uwepo wa maonesho haya kwa kutoa fedha. Mwenye nguo ya bluu ni mama kutoka Benki ya Kenya na huyo mzungu ni mfadhili toka Ubalozi wa Uswizi. Wafadhili hawa wameahidi mbele ya hadhira kwamba msaada wao hautaishia kwenye maonesho haya, watasaidia kina dada hawa kuanzisha chama cha Wasanii Wanawake Tanzania.
Dada mwenye mtoto pale nyuma ni Pili, msanii mshiriki, na yule mwenye kilemba cha buluu bahari ni Pudenciana, msanii mshiriki vilevile.
Posted in Africa, Art, Bongo, Burudani, Kazi, Kimataifa, Photography, Sanaa, Tanzania | 2 Comments »
Posted by Bob Sankofa on March 7, 2008

Hatimaye yale maonesho ya Wasanii Wachongaji Wanawake wa Tanzania yamefunguliwa rasmi jana usiku. Hawa ni baadhi ya wageni waliofanikiwa kuwaunga mkono dada zetu. Maonesho yako wazi hadi tarehe 26 mwezi huu. Ukitoka kazini pita pale Makumbusho ya Taifa siku moja uone kinachoendelea.
Posted in Africa, Art, Bongo, Burudani, Fotografia, Kazi, Photography, Sanaa, Tanzania | Leave a Comment »
Posted by Bob Sankofa on March 5, 2008


Posted in Africa, Art, Bongo, Burudani, Elimu, Fotografia, Kazi, Kimataifa, Mikutano, Photography, Poetry, Sanaa, Tanzania | 1 Comment »
Posted by Bob Sankofa on March 5, 2008

Mwandale Mwanyekwa, msanii mwanamke wa fani ya uchongaji, akimalizia moja ya sanaa zake nyingi zitakazojiri pale katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa kuanzia siku ya Tarehe 7 asubuhi. Maonesho yanafunguliwa kesho usiku lakini watakaojiri kesho ni wale waliopewa kadi za mwaliko tu halafu kwa muda wa wiki tatu zijazo yatakuwa wazi kwa Watanzania wote. Kiingilio BURE.

Sanaa inapakwa mafuta, nafikiri hii ni namna fulani ya kuongeza thamani ya sanaa hii maana baada ya kupakwa mafuta kazi hii huwa inang’ara kwelikweli.
Posted in Africa, Art, Bongo, Fotografia, Kazi, Photography, Sanaa, Tanzania | Leave a Comment »
Posted by Bob Sankofa on March 4, 2008

Posted in Africa, Art, Bongo, Fotografia, Kazi, Photography, Sanaa, Tanzania | 1 Comment »