8020 FASHIONS + MWENYEMACHO DOT COM = USIPIME
Posted by Bob Sankofa on December 6, 2007

Kwenye uzinduzi wa Tanzania Mitindo House nilikutana na dada mwanablogu, Shamim wa 8020 Fashions. Dada tumekuwa tukikutana kwenye mtandao tu, ni mtu mmoja poa sana, anajua kusaka picha za maana kwa ajili ya blogu yake. Mcheki kwa kubofya hapa.
Like this:
Be the first to like this post.
This entry was posted on December 6, 2007 at 9:10 pm and is filed under Africa, Art, Blogu za Kiswahili, Bongo, Burudani, Fashion, Fotografia, Kazi, mitindo, Photography, Sanaa, Tanzania, Wadau.
You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed.
You can leave a response, or trackback from your own site.
luihamu said
Bob jaribu kuibadili hiyo picha iwe katika mfumo wa black and white.
Respect.